TAMADUNI TANO ZA KUSHANGAZA BARANI AFRICA

Photo by Abel Kayode from Pexels

Barani Afrika kuna mila, desturi na tamaduni mbalimbali ambazo kwa jamii husika ni kawaida ila zinapowafikia watu wa jamii nyingine huonekana za kustaajabisha na kutisha. Hapa tumekuchambulia tamaduni tano ambazo zitakuacha kinywa wazi.

1. Kuiba mke usiku  kwenye ngoma ya asili.

Katika ngoma ya asili ya kabila la woodabe linalopatikana katika nchi za Nigeria, Cameroon, Afrika ya kati na kusini mwa chad, zinazofanyika usiku ambapo wanaume waliooa na wasiooa, wanawake walioolewa na wasioolewa, hujumuika pamoja kuimba, kucheza na kufurahi. Ajabu ni kwamba wanaume wanaruhusiwa kuiba mwanamke yeyote na kwenda kulala naye kwa kustarehe hadi asubuhi bila kujali kama ameolewa ama hajaolewa. Hata hivyo zoezi hili linaweza kukwama ikiwa mwanamke mwenyewe hakuridhia, au mume wa mwanamke huyo akiwakamata mkiwa katika zoezi la kutoroka atazuia na kuondoka na mkewe bila vurugu.

2. Utaratibu wa kumuosha maiti katika kabila la Chewa huko Malawi.

Kabila la Chewa huko Malawi lina utaratibu wa kuzika unaofahamika kama 'Nyau' ambapo waandaaji wa mazishi huvaa vinyago usoni wakati wa kumuosha maiti. Ajabu hapa ni kua katika kuuosha mwili wa marehemu, koo la maiti hukatwa na kwa kupitia uwazi huo maji humiminwa kupitia kooni, kwenda tumboni na tumbo la maiti huyo hukandamizwa ili maji yatoke kupitia njia ya haja kubwa. Zoezi hili hufanyika hadi maji yatoke yakiwa masafi kabisa. Ajabu zaidi ni kwamba maji haya hutumika kupikia chakula kwa ajili ya wanajamii wote siku ya mazishi.

3.Kulala na shangazi wa bibi harusi  kabla ya ndoa katika kabila la Banyankole huko Uganda.


Comments

MUST READ

Draw a sketch map of East Africa showing the famous historical sites. Explain the importance of historical sites.

Show the Illegitimacy of the so called 'Legitimate trade'.

Show the pattern of the colonial infrastructure and explain why the transport systems ran perpendicular from the interior to the coast.

COLONIAL SOCIAL SERVICES

ESTABLISHMENT OF COLONIALISM

AFRICA AND EXTERNAL WORLD

The First World War was imperialistic war. Discuss.

The current african underdevelopment is a historical phenomenon. Justify.

Colonialism and Imperialism are the two sides of the same coin. Justify.

mwanemutapa kingdom. "Master of conquered lands"